Una matiti so mpaka we uzitupa kwa mgongo times za kuosha manguo
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate
Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje
Nasikia we ni mkonde mpaka uki turn una disappear