we ni mblaki Hadi damu inasaculate kwA mwili yako na torch
nasikia we niweusi hadi una aribia makka fashion
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Asubuhi Asubuhi kokoto na kumi kumi