wewe ni mweusi mpaka wameandika “scratch to reveal” kwa I.D yako
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
Mdomo kubwa kama bakuli ya jela