Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma
We mfupi mpaka unatoka kwa basi na parachute
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂