nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda
We m-ugly mpaka kipofu anavaa paperbag kukubinja
were ni mfupi hadi unaendanga marathon ndani ya pekelle
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport