Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Sistako mshort aneza temebea chini ya bed
chuo yenu ni farthest by the time unafika ni 2nd term!
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi