Buda ako ni mjinga, first time kupanda ndege alisema shukisha junction
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!
Budako mugly mbaka anaishia home kutoka zoo na mandizi mob amegeiwa na matourist
We ni mweusi hadi mbu ikitaka kukuuma yo huitisha torch
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂