Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
We mrefu mpaka KQ wanakuitia job ya kupanguza dirisha za ndege
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.