Ati wewe ni mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut
we ni mblaki Hadi damu inasaculate kwA mwili yako na torch
Kichwa kama basi ya bed ford ya zamani
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Ati siz yako ni mnono mpaka chali yake humshow ‘u r 2 in a million.