wewe ni msupa tu sana
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
Breathe yako sumu ukiyawn asubuhi jogoo hudedi