Mathako mnono akikalia kobole Moi hutoa makamasi
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva