Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
Kwenu nyi ni ma-miser mpaka price ya colgate ikipanda mnateta na hamna meno
Balls zako bigi sana mpaka ukipiga shower unaziweka kwa rack zikauke
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
nasikia uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon