Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Mmesota hadi nyi hukula ugali na story za nyama
nasikia weni mweusi hadi una aribia makka fashion