Kwenu muko wengi mpaka mathe hupika chapo mbili zingine anafanya photocopy ndio yeye na fathe wakule original
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Una matiti so mpaka we uzitupa kwa mgongo times za kuosha manguo
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
wee ni mnono hadi ukikalia novel zinakuwa short stories!