kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
Ngozi ya nyanyako ni tight mpaka aki wink, mguu yake inainuka
Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂