Nyanyako ni mdedli karate mpaka wasee wa F2 wakamchora ka baunsa
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi