Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
Nyanyako ni mdedli karate mpaka wasee wa F2 wakamchora ka baunsa
Asubuhi asubuhi mabuyu na cools