Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
We ni dentist mpro hadi unang’oa blue tooth ya phone yako.
We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga