wewe ni mweusi mpaka wameandika “scratch to reveal” kwa I.D yako
Wewe ni fala unarewind CD na biro pen
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva