Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
aty shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt
msee akona maskio kubwa hadi anashika waves za safaricom