uko na ngozi tight mpaka ukikunja ngumi macho infunguka.
Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa
First time yako ku-buy ball gum shopkeeper alikugei ya green ukasema 'nataka ile imeiva'
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.