Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
ATI we ni mkonde Hadi una miss mvua
Wewe ni fala unarewind CD na biro pen
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest