Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.
Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
uko na ngozi tight mpaka ukikunja ngumi macho infunguka.
Asubuhi asubuhi mapera na maziwa ya nguruwe