Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!
Nyanyako ni mdedli karate mpaka wasee wa F2 wakamchora ka baunsa