First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Wewe ni fala mpaka uikiingia kwa KBS unapiga hodi na unatoa viatu
ASUBUHI ASUBUHI githeri na colgate.
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!