We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
chuo yenu ni farthest by the time unafika ni 2nd term!
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
Maskio kama mlango ya probox
Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?