Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Ati siz yako ni mnono mpaka chali yake humshow ‘u r 2 in a million.
una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.