NEWBIE 254
@user1593
·
To be afraid
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
aty shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt
ati nime sikia we ni munono adi uki faa shirti ya yellow una kaa school bus
wewe ni mjinga… mpaka ulirepeat kunyonya.
nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda