Kwenu mko wengi hata mkienda dining room mnaingia na gate pass
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Nywele za watoto wenyu ni ngumu mpaka mnazitumianga kama steel wool
Ati wee ni mnono mpaka ukikalia kiti inasema paxes
Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate