Ian Tarus
@user1402
·
daga,,,,
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
ww n mkonde adi unavaanva socks n belt
We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
Buda ako ni mjinga, first time kupanda ndege alisema shukisha junction