We mzee na danda mbaka ulikuwa naso na onyato ati na ujamada form four bado
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!
Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi