Dame yako amekonda hadi yeye huchungulia kwa key hole na macho zote mbili.
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
aty shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt
eti uko so shy hadi gotha yako iko na collar
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest