we ni mblaki Hadi damu inasaculate kwA mwili yako na torch
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers
Budako uhepa gumbaru, anaenda kuangalia tractor ikikata manyasi
Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi