Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Wewe ni mrefu mpaka ni wewe huongezea jua makaa
ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza
Ati wewe ni mzee hadi ukizaliwa “OLD TESTAMENT” ilikuwa inaitwa “TESTAMENT”
Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.