Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
umenona hadi ukivaa t-shirt ya green unakaa kibanda ya mpesa
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
we ni mchoyo hadi unaflash.999.makarao
We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu