Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
naskia nyi mmesota mpaka munapika chapo side moja
Aty weni mchoyo adi uki enda kwa jirani upate maji ya mchele wana hi badilisa ina kuwa yamtoi kuoga
We mzee na danda mbaka ulikuwa naso na onyato ati na ujamada form four bado