Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
Ati umekonda mpaka we hutumia elastoplast badala ya always
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
naskia shosh Yako Ako na mbio Hadi kwa mlango ameekewa bams
shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt