First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
huyu mseee ana maskio kubwa,akiinuliwa juu!,anabebwa kaa trophy
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
wewe ni mfupi hadi unakatiaga nyasi
Umeunga mpaka unatoanga ngozi ya miwa ka ndizi