huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
We mfupi mpaka unatoka kwa basi na parachute
ATI we ni mkonde Hadi una miss mvua
TV yenu ndogo na nyinyi ni wengi mpaka mkitaka kuiona nyi wote lazima kila mtu afunge macho moja
we ni mchoyo hadi unaflash.999.makarao