Origin: Uknown
Use: Nipitishie hiyo fegi. = Pass me that cigarette.
Period: Mid 90's
Synonyms: Gaf, Gife, Fwaka, Ngale, Ngarasi, Ngem, Mozo
Pronounciation: (Noun) [ feh-gii ]
History: Derived from the Colloquial English word "FAG" which was initially used to mean a cigarette.
No replies yet. Start the conversation.
Nyinyi ni wadosi hadi dogi zenu zina dogi za kuzichunga.
Budako uhepa gumbaru, anaenda kuangalia tractor ikikata manyasi
Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
nasikia wewe ni mfupi mpaka wajua pahali shetani anaficha chupi