nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
Asubuhi Asubuhi Patco na mapera
We ni mrefu mpaka usiku miguu zinalala kwa jirani
wewe ni mrefu hadi una magoti tatu kama ngamia