Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
unakichwa bigi hadi ukidream unadream 7 in 1
Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣