Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Budako uhepa gumbaru, anaenda kuangalia tractor ikikata manyasi
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu