Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke
auna nywele mbaka ukienda Kwa kinyozi una ambiwa boss atu nyoi matako
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..