Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza
Wewe ni fala mpaka uikiingia kwa KBS unapiga hodi na unatoa viatu
kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi
aty shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt