Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
We mrefu mpaka ukianza kuvaa handa by the time ifike kwa magoti ime rust
We m-ugly, ulipokuwa mtoi masako alikufeed na feya
naskia shosh Yako Ako na mbio Hadi kwa mlango ameekewa bams
Umekonda mbaya mkicheza birikicho unajifichanga Kwa sindano