Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
ngozi ya nyanyako in tight mpaka akifunga jicho moja mguu inainuka
kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi
Ati wewe ni mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut
Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.