naskia baba yako ni mlafi hadi huwa ana ficha gither kwa warlet
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Aty weni mchoyo adi uki enda kwa jirani upate maji ya mchele wana hi badilisa ina kuwa yamtoi kuoga
We mrefu mpaka KQ wanakuitia job ya kupanguza dirisha za ndege
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂