Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!
naskia baba yako ni mlafi hadi huwa ana ficha gither kwa warlet
wewe ni mfupi hadi unabebanga fifty bob kama mabati.
Unamatako kubwa mpaka watu hupata marao na kuidandia kama mathree