We m-ugly, ulipokuwa mtoi masako alikufeed na feya
Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi
TV yenu ndogo na nyinyi ni wengi mpaka mkitaka kuiona nyi wote lazima kila mtu afunge macho moja
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣